MUHIMU
FUNGAMO LA UANACHAMA (Common Bond):
Walimu wa Shule/Taasisi za Elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi,Watumishi Chama cha Walimu Moshi Vijijini, Idara ya Ushirika, na walimu wanachama wastaafu.
UTARATIBU WA KUJIUNGA.
Akiba ya lazima (Loanable Fund) ni kiasi cha Tshs.20,000/=(Elfu ishirini tu) au Zaidi kwa kila mwezi.
JE! UNAHITAJI KUJIUNGA?
Pakua(Download) Fomu Ya Kujiunga na MRTS hapo chini na utume kwenda it@mrts.co.tz Au apply online Bonyeza hapa
https://mrtsaccosmoshiv.aidaform.com/membership-form tutakujibu hivi punde endelea kua nasi, unaweza kuendelea kujifunza kupitia link
Bonyeza hii hapa https://app.animaker.com/previewslides/PpqG4qbAtCF22q9X/ .